Masomo

NGILA: Bila ushirikiano kiteknolojia #AfricaRising itasalia ndoto tu

Utafiti huo ulionyesha kuwa ni mataifa manne tu barani yanayotilia mkazo haja ya kuwekeza zaidi katika mifumo ya kidijitali –Kenya, Misri, Afrika Kusini na Nigeria – ingawa katika jukwaa la kimataifa juhudi hizo zimemezwa na Amerika na Uchina.

zaidi

Milima usiyoifahamu inayoongoza kwa urefu nchini

WATU wengi wanaujua zaidi Mlima Kilimanjaro kutokana na upekee wake katika Bara la Afrika.

zaidi

Raha ya ndoa ni kutogawa asali, utafiti wathibitisha

Siri ya kuwa na maisha ya furaha katika ndoa sio kuchagua mchumba mwenye mali, sura au umbo la kuvutia, ni kutokuwa na mipango ya kando, utafiti wa hivi punde umefichua.

zaidi

Utafiti: Acheni nyama kuepuka vifo vya mapema

WAKATI kwa baadhi ikionekana ulaji wa nyama ya nguruwe ‘kitimoto’, ng’ombe na mbuzi kuwa ni ishara ya kipato kizuri, hata hivyo vitoweo hivyo vimetajwa kuwa miongoni mwa vyanzo vya vifo vya mapema, ik

zaidi

Jinsi ya kuepuka makosa 5 ya kiutawala kazini

KAZI ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku. Hiyo ni kutokana na ukweli kwamba, binadamu hutumia muda mwingi zaidi mahali pa kazi kuliko sehemu nyingine yoyote.

zaidi

Misri.. na muundo wa amani na usalama barani Afrika

Sera ya Misri imetilia umuhimu zaidi suala la amani na usalama barani Afrika, katika ngazi nyingi, kama vile : mipango rasmi, mifumo dhibiti na michango ya kimataifa.

zaidi

Sera ya nje ya Misri kuelekeo Afrika Kupitia urais wa El-Sisi

"Misri ni moyo wa Waarabu unaodunda .. Na akili yake ya kufikiri .. Mnara wa taa ya ulimwengu wa Kiislamu .. Na kituo cha mionzi ya sayansi za dini ..

zaidi

"Mahusiano kati ya Misri _ Afrika" Kuanzia 1952 hadi 2014

Tangu mapinduzi ya Julai mwaka wa 1952, sera ya Misri imetoa umuhimu mkubwa kwa bara la Afrika kwa miongo miwili, na kwa sababu ya imani ya Misri kwa  utambulisho wake wa Kiafrika, Misri imefanya jiti

zaidi

ADUNGO: Nafasi ya lugha asili katika kusambaza tamaduni

MATUMIZI ya lugha huwa ndio msingi wa kuendeleza, kukuza, na hata kubuni uzushi mpya katika mirathi ya kitamaduni, mila na hulka za kijamii.

zaidi

Utafiti: Binadamu tishio kwa mawindo ya wanyama hifadhini

KATIKA Utafiti uliotolewa na kuchapishwa kupitia kituo cha Associated Press Juni 14 mwaka huu, watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Colombia nchini Marekani wameeleza kuwa wamebaini wanyama hasa Simba wamek

zaidi

Mpango wa kuendeleza malisho nchini utainua sekta ya mifugo

SEKTA ya Mifugo imeendelea kutoa mchango muhimu katika uchumi wa wananchi wa vijijini na Tanzania kwa ujumla, ambapo bidhaa zake zikiwemo nyama, maziwa, ngozi na mbolea zikiendelea kuuzwa nje ya nchi

zaidi

AKILIMALI: Teknolojia mpya ya kukuza viazi inavyowapunguzia wakulima gharama

HALI ya anga ni shwari katika maeneo ya Timau, Kaunti ya Meru wakati Akilimali inazuru mashamba mapana ya ngano, canola na viazi kung’amua teknolojia zinazotumika kufanikisha kilimo kwenye maelfu ya maekari.

zaidi